Revelation of John 11:15
15 aYule malaika wa saba akaipiga tarumbeta yake, pakawa na sauti kubwa mbinguni iliyosema: “Ufalme wa ulimwengu umekuwa ufalme wa Bwana wetu na wa Al-Masihi wake,
naye atatawala milele na milele.”
Copyright information for
SwhKC